Mbunge wa Laikipia Kaskazini akamatwa

Mbunge wa Laikipia Mashariki Mathew Lempurkel hii leo alifikishwa mahakamani kwa kosa la kumjeruhi mbunge mteule sara korere walipokuwa katika afisi ya waziri wa Usalama wa Ndani Joseph Nkaisserry.

Mbunge huyo aliachiliwa kwa faini ya shilingi laki moja na alipokuwa akitoka mahakamani akatiwa mbaroni tena. Stephen letoo na taarifa hiyo.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories