Mbunge wa Laikipia Kaskazini atiwa korokoroni
Published on: July 22, 2017 09:11 (EAT)
Mbunge wa Laikipia Kaskazini Mathew Lempurkel alikamatwa na wapelelezi mapema hii leo na kupelekwa hadi kituo cha polisi cha Narumoru kaunti ya Nyeri kwa madai ya kutoa matamshi ya uchochezi .
Lempurkel anatuhumiwa kutoa matamshi hayo ya uchochezi katika mkutano wa kisiasa wa chama cha ODM uliofanyika katika mji wa muwarack laikipia kaskazini hivi majuzi.
Lempurkel atasalia korokoroni hadi jumatatu atakapofikishwa mahakamani.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment