Mbwa wamtafuna mjukuu wa marehemu Gachagua
Published on: September 21, 2017 08:57 (EAT)
Familia ya marehemu gavana wa Nyeri Nderitu Gachagua inaomboleza kifo cha mjukuu wao aliyeshambuliwa na mbwa akicheza nje ya nyumbani mwao. Mtoto huyo aliaga baada ya kuzidiwa na majeraha aliyoyapa.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment