Mbwa wamtafuna mjukuu wa marehemu Gachagua

Familia ya marehemu gavana wa Nyeri Nderitu Gachagua inaomboleza kifo cha mjukuu wao aliyeshambuliwa na mbwa akicheza nje ya nyumbani mwao. Mtoto huyo aliaga baada ya kuzidiwa na majeraha aliyoyapa.

Tags:

nyeri Nderitu Gachagua Nderitu Gachagua grandchild mauled by dogs

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories