Mchakato wa kumtafuta jaji mkuu mpya waendelea

Jaji wa mahakama ya rufaa Roselyn Naliaka Nambuye ametaja mswada uliodhinishwa jana na bunge kuzuia uhamiaji wa vyama vya kisiasa kama kinyume na katiba. Nambuye ambaye amehojiwa na tume ya huduma za mahakama ili kujaza nafasi ya jaji mkuu amesema kuwa katiba inawapa watu uhuru wa kujihusisha na vyama vyovyote wanavyotaka. Nambuye ni mmoja kati ya wanawake wawili ambao ndio pekee waliotuma maombi ya kutaka kumridhi Willy Mutunga.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories