Mchakato wa kumtafuta naibu jaji mkuu waendelea
Published on: September 27, 2016 11:19 (EAT)
Jaji wa mahakama ya rufaa Fatuma Sichale amesema kuwa mawakili wenye uzoefu wa miaka mingi ndio pekee waruhusiwe kuwasilisha kesi za uchaguzi katika mahakama ya juu zaidi. Jaji Sichale ambaye alikuwa akihojiwa na tume ya huduma ya majaji amesema kuwa mawakili waliofuzu majuzi hawaelewi vyema sheria na wanajitafutia tu jina kwenye vyombo vya habari. Jaji wa mahakama kuu Hannah Okwengu kadhalika alihojiw ana tume ya JSC.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment