Mchujo wa Jubilee

Kura za mchujo ya Chama cha Jubilee sasa zitafanyika katika siku mbili, kutoka siku moja iliyotarajiwa hapo awali. Kwa mujibu wa Wawakilishi wa Jubilee, hatua hii itawapa wapiga kura nafasi nzuri ya kuwachagua wagombeaji wao. Mwanahabari wetu Denis Otieno ana maelezo zaidi.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories