Mchujo wa ODM: Chama chaahirisha chaguzi hadi Jumamosi
Published on: April 18, 2017 08:24 (EAT)
Chama cha ODM kimeshuhudia changamoto si haba kwenye shughuli za chaguzi za mchujo katika kaunti tano, na hata kulazimika kusimamisha uchaguzi katika maeneo bunge mawili na vituo kadhaa vya kupigia kura. Baadhi ya vituo vilipokea vifaa vya kupigia kura vikiwa vimechelewa huku fujo zikishuhudiwa na uharibifu wa karatasi na masanduku ya kura.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment