Mfanyabiashara auliwa mtaani Tudor, Mombasa

Polisi mjini Mombasa wanawasaka wahalifu waliomuua kwa kumpiga risasi mfanyabiashara mmoja mtaani Tudor usiku wa kuamkia leo na mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini na mitano alijitia kitanzi baada ya kumdunga kisu mpenziwe na kumuua huko molo kaunti ya Nakuru.

Tags:

Mombasa Tudor

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories