Mfanyabiashara auliwa mtaani Tudor, Mombasa
Published on: September 19, 2017 08:16 (EAT)
Polisi mjini Mombasa wanawasaka wahalifu waliomuua kwa kumpiga risasi mfanyabiashara mmoja mtaani Tudor usiku wa kuamkia leo na mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini na mitano alijitia kitanzi baada ya kumdunga kisu mpenziwe na kumuua huko molo kaunti ya Nakuru.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment