Mfanyabiashara auliwa mtaani Tudor, Mombasa
Published on: September 19, 2017 08:16 (EAT)
Polisi mjini Mombasa wanawasaka wahalifu waliomuua kwa kumpiga risasi mfanyabiashara mmoja mtaani Tudor usiku wa kuamkia leo na mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini na mitano alijitia kitanzi baada ya kumdunga kisu mpenziwe na kumuua huko molo kaunti ya Nakuru.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment