Mfanyabiashara auliwa mtaani Tudor, Mombasa

Polisi mjini Mombasa wanawasaka wahalifu waliomuua kwa kumpiga risasi mfanyabiashara mmoja mtaani Tudor usiku wa kuamkia leo na mwanaume mwenye umri wa miaka ishirini na mitano alijitia kitanzi baada ya kumdunga kisu mpenziwe na kumuua huko molo kaunti ya Nakuru.

Tags:

Mombasa Tudor

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories