Mgawanyiko wajitokeza kati ya makundi ya wauguzi

Wasimamizi wa muungano wa wauguzi nchini hii leo walitofautiana peupe na kuzusha vurumai katika mkutano na wanahabari hapa jijini Nairobi. Rabsha hiyo inajiri huku wagonjwa wakiendelea kuhangaika kutokana na mgomo unaoendelea wa wauguzi hao.

Tags:

Seth Panyako Nurses strike wauguzi john bii

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories