Mgawanyiko wajitokeza kati ya makundi ya wauguzi
Published on: June 16, 2017 08:07 (EAT)
Wasimamizi wa muungano wa wauguzi nchini hii leo walitofautiana peupe na kuzusha vurumai katika mkutano na wanahabari hapa jijini Nairobi. Rabsha hiyo inajiri huku wagonjwa wakiendelea kuhangaika kutokana na mgomo unaoendelea wa wauguzi hao.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment