Mgomo baridi wa madaktari na wauguzi waendelea

Baraza la magavana imetaja kuwa iko tayari kutia sahihi mkataba wa kutambuliwa na madaktari kumaanisha kuwa madaktari wote watakuwa chini y amamlakaya kaunti ikilinganishwa na hapo aawali pale wizara ya afya ilishughulikia masilahi yao. Huku haya yakiri wagonjwa katika kaunti tofauti wanazidi kutaabika baada ya madakatari kususia kazi pamoja na wauguzi kwa sababu ya madai ya mishara yao kutolipwa kwa zaidi ya miezi mitano sasa pamoja na upungufu wa idadi ya wauguzi kusaidia majukumu hospitalini.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories