Mgomo wa madaktari

Maseneta wameapa kuandaa kikao cha washikadau kutafuta mwafaka wa mgomo wa madaktari unaoingia siku yake ya 43 hiyo kesho.

 

 

 

Baada ya kikao na maafisa wa muungano wa madaktari  (kmpdu) seneta wa Mombasa Hassan Omar na mwenzake wa Makueni Mutula Kilonzo junior, wametangaza kuleta kamati mbali mbali za seneti pamoja kuangazia mazungumzo kati ya mdaktari, wizara ya afya, na baraza la magavana

 

 

 

Haya yanajiri huku mkuu wa kanisa la kianglikana Jakson Ole Sapit akiwarai madaktari kuendeleza

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories