Mgomo wa madaktari

Maafisa saba wa muungano wa madaktari, al maarufu cba seven, wana hadi saa sita usiku wa leo kumaliza mgomo wao la sivyo watumikie kifungo cha mwezi mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kukaidi amri ya mahakama.

 

Muungano wa madaktari kmpdu imesisitiza kuwa utasindikiza saba hao mahakamani na hata gerezani, na kupiga kambi nje ya watakakofungwa wakifanya maombi ya usiku hadi kukamilika kwa kifungo chao.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories