Mgomo wa madaktari
Mtazamaji hebu fikiria, unapoenda kuchota maji mtoni unashambuliwa na mamba kiasi cha kuvunjika mkono mara kadha, cha kutonesha kidonda ni eti madaktari wamegoma hivi basi unashindwa kupata matibabu ya haraka.
Wazazi wako wanabambanya na mishowe wanapata usaidizi wa kukupeleka katika kituo cha kibinafsi. Hata hivyo usaidizi huu unafika kuchelewa na inawalazimu madaktari kukukata mkono.
Ndio masaibu anayopitia abdulrahman abubakar kutoka tana river huku mgomo wa madaktari ukiingia siku yake ya 91 hii leo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment