Mgomo wa madaktari: Mazungumzo ya kuutafutia ufumbuzi yaendelea
Published on: February 20, 2017 08:18 (EAT)
Mazungumzo ya upatanisho yanayonuia kumaliza mgomo wa madaktari uliodumu kwa siku 77 sasa yaliendelea katika jumba la cvs, makao makuu ya tume ya kutetea haki za kibinaadam hapa jijini Nairobi.
Mazungumzo hayo yanayoongozwa namwenyekiti wa tume ya kupigania haki za kibinaadam kagwiria mbogori na mwakilishi wa chama cha mawakili john ohaga, hii leo yamegusia suala tata la mishahara na marupurupu, ambaki pande husika zinaripotiwa kutofautiana vikali.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment