Mgomo wa wauguzi waendelea kwa zaidi ya miezi minne
Published on: October 19, 2017 08:07 (EAT)
Miezi minne baada ya wauguzi kuanza mgomo wao wanadai kupuuzwa na waziri wa afya na hata baraza la gavana katika utekelezaji wa matakwa yao. Kufikia sasa ni watoto wengi waliokosa chanjo zao na kuwalazimu kina mama kujifungulia nyumbani kutokana na hali hii.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment