Mgomo wa wauguzi waingia siku ya 100

Matumaini ya kusitisha mgomo wa wauguzi ambao umefikisha siku 100 sasa yamegonga mwamba. Hii ni baada ya muungano wa wauguzi nchini kukariri kwamba wanachama wake hawatorudi kazini hadi pale mkataba wa maelewano baina yao na serikali utakapotekelezwa.
Hata hivyo hali katika hospitli za umma inazidi kuwa mbaya kama anavyotueleza Kadzo Gunga.

Tags:

Seth Panyako wauguzi

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories