Mgomo wa Wauguzi waingia siku ya 99
Published on: September 13, 2017 08:14 (EAT)
Huduma za afya nchini zitaendelea kutatitizika kwa muda baada ya wito mpya uliotolewa hii leo na maafisa wa muungano wa wauguzi nchini. Maafisa hao wametangaza kwamba juhudi zao zitapigwa jeki na wahudumu wote wa afya kwanzia Ijumaa wiki hii.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment