Mgomo wa Wauguzi waingia siku ya 99
Published on: September 13, 2017 08:14 (EAT)
Huduma za afya nchini zitaendelea kutatitizika kwa muda baada ya wito mpya uliotolewa hii leo na maafisa wa muungano wa wauguzi nchini. Maafisa hao wametangaza kwamba juhudi zao zitapigwa jeki na wahudumu wote wa afya kwanzia Ijumaa wiki hii.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment