Mgomo wa wauguzi waingia siku ya pili hii leo
Published on: June 06, 2017 09:26 (EAT)
Watu sita wameaga dunia katika kaunti ya Mombasa huku mgomo wa wauguzi ukiingia siku yake ya pili. Kina mama wakilazimika kujifungua kwenye magari huku tume ya kuratibu mishahara ikishikilia kuwa kiwango cha pesa wanachotaka kuongezewa ni kikubwa mno na kukataa mapendekezo yaliyotolewa.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment