Mgonjwa wa akili anayeshukiwa kumuua daktari afikishwa mahakamani
Published on: December 08, 2017 08:26 (EAT)
Mshukiwa wa mauaji ya aliyekuwa daktari katika zahanati ya Chiromo Lane Medical Center amefikishwa mahakamani mapema hii leo. Mshukiwa ambaye anamiliki bastola amewafanya watu wengi kuuliza swali ni vipi akaruhusiwa kumiliki bastola ilhali ni mgonjwa wa akili.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment