Mheshimiwa Mchawi? Adaiwa kutumia uchawi kuwashawishi watu
Published on: November 13, 2017 08:35 (EAT)
Mwakilishi wa wadi ya Olusimoru Kaunti Ya Narok amejipata mashakani baada ya mpinzani wake kumshtaki akidai kuwa alitumia uchawi kushinda kiti hicho. Kesi hiyo inaendelea kusikizwa katika mahakama ya Narok.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment