Miaka 3 ya muafaka wa amani wa Turkana na Pokot

Mamia ya watu kutoka jamii ya Wapokot na Waturkana walikongamana katika eneo la Turkwel kaunti ya Pokot Magharibi ili kusherekea miaka mitatu tangu jamii hiyo kuweka makubaliana ya kusitisha mashambulizi na wizi wa mifugo baina ya jamii hizo hasimu.

Tags:

turkana West Pokot

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories