Miaka 3 ya muafaka wa amani wa Turkana na Pokot
Published on: December 30, 2017 08:59 (EAT)
Mamia ya watu kutoka jamii ya Wapokot na Waturkana walikongamana katika eneo la Turkwel kaunti ya Pokot Magharibi ili kusherekea miaka mitatu tangu jamii hiyo kuweka makubaliana ya kusitisha mashambulizi na wizi wa mifugo baina ya jamii hizo hasimu.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment