Mifugo washuka bei Maralal, Samburu

Wafugaji kutoka kaunti ya Samburu wanaitaka serikali ya kaunti pamoja na serikali kuu kuwaokoa kutoka kwenye hasara kubwa ya bei wanayokumbana nayo kwa sasa kwenye soko la mifugo wao.

Tags:

Samburu back to school Lesuuda livestock prices Naisula

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories