Miili ya Wasichana walioangamia shuleni Moi yatambuliwa
Published on: September 12, 2017 08:58 (EAT)
Shughuli ya kuitambua miili ya wasichana tisa walioangamia kwenye mkasa wa moto katika shule ya upili ya wasichana ya Moi hapa Nairobi imefanyika hii leo. Hafla hiyo imesheheni majonzi wakati familia na jamaa ya walioangamia ikiwatambua wapendwa wao.
Makori Ongechi alishuhudia shughuli hiyo na kutuandalia taarifa ifuatayo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment