Miili ya Wasichana walioangamia shuleni Moi yatambuliwa

Shughuli ya kuitambua miili ya wasichana tisa walioangamia kwenye mkasa wa moto katika shule ya upili ya wasichana ya Moi hapa Nairobi imefanyika hii leo. Hafla hiyo imesheheni majonzi wakati familia na jamaa ya walioangamia ikiwatambua wapendwa wao.
Makori Ongechi alishuhudia shughuli hiyo na kutuandalia taarifa ifuatayo.

Tags:

DNA test chiromo mortuary Moi Girls

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories