Mikakati ya Wiper Ukambani

Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka amekutaka na viongozi wa chama hicho kupanga mikakati ya kampeni za muunagno wa Nasa kabla ya uchaguzi mwingine wa urais kuandaliwa. Kulingana na Kalonzo mahakama ilitenda haki kwa kubatilisha uchaguzi wa urais.

Tags:

WIPER kalonzo musyoka

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories