Mikakati ya Wiper Ukambani
Published on: September 02, 2017 08:40 (EAT)
Kinara wa Wiper Kalonzo Musyoka amekutaka na viongozi wa chama hicho kupanga mikakati ya kampeni za muunagno wa Nasa kabla ya uchaguzi mwingine wa urais kuandaliwa. Kulingana na Kalonzo mahakama ilitenda haki kwa kubatilisha uchaguzi wa urais.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment