Mikakati yawekwa kuzuia udanganyifu kwenye mitihani

Wizara ya elimu imeweka mikakati ya kuzuia wizi wa mitihani kwenye mitihani ya mwaka huu ya KCPE na KCSE. Hayo yamebainishwa na waziri wa elimu Dkt. Fred Matiang’i na kama anavyotupasha Lulu Hassan, walimu wasiohusika na mitihani hiyo hawatoruhusiwa kukaribia shule wakati huo.

Tags:

KCSE kcpe mitihani Udanganyifu katika mitihani

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories