Mikutano ya kampeni ya Jubilee huko Nyeri yaahirishwa

Kampeni za Jubilee zilizopangiwa kufanyika katika kaunti ya Nyeri, zikiongozwa naye Rais Uhuru Kenyatta pamoja na naibu wake William Ruto ziliahirishwa hii leo kwa sababu ambazo hazijabainika. Hata hivyo, mkewe rais Margaret Kenyatta amekuwa akizunguka kaunti za Transnzoia na Pokot Magharibi kumuombea mumewe kura.

Tags:

JUBILEE Margaret Kenyatta nyeri West Pokot

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories