Mimba za Mapema Kisumu

Mmoja kati ya wasichana wawili walio chini ya umri wa mika 18 wako katika hatari ya kupachikwa mimba katika kaunti ya kisumu na kukatiza ndoto zao za kuendelea na masomo.haya ni kulingana na  ripoti iliyotolewa na shirika la plan international ambayo pia inaonyesha kwamba wasichana 3 kati ya kumi hutwika majukumu ya uzazi wakiwa na  miaka kumi na mitano.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories