Minung’uniko yasikika katika mrengo wa NASA

Hatima ya kuapishwa kwa kinara wa NASA Raila Odinga huenda ikakosa kufanyika baada ya manunguniko kuwepo katika muungano huo. Ripoti zimearifu kuwa baadhi ya vinara wamepinga kufanyika kwa hafla hiyo ya kuapishwa kwa Raila, swala ambalo limepelekea vinara hao kuitisha kikao cha dharura Jumatatu ijayo.

Tags:

NASA Raila swearing in national dialogue

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories