Minyororo ya heroini
Published on: April 08, 2017 09:05 (EAT)
Matumizi ya dawa ya kulevya aina ya heroini yanazidi kukanganya serikali na washikadau kwa jumla hasa kwa kuwa madhara yake kwa jamii ni mengi na makubwa. Mwanahabari wetu Ann Mawathe anaangazia kliniki ilioanzishwa na serikali ya kaunti ya Nairobi kwa minajili ya kuwapa matibabu waraibu wa dawa ya kulevya aina ya heroini.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment