Mipango ya kumwapisha Raila inaendelea

Muungano wa upinzani NASA umeweka bayana mwelekeo utakaochukuliwa na bunge la mwananchi, ambao unanuia kushinikiza kuwepo kwa uchaguzi mpya mapema mwaka ujao. Wanadiplomasia wa kigeni wamefanya kikao na muungano huo mapema leo, katika juhudi za kutafuta mwafaka kwenye suitafahamu iliopo

Tags:

NASA Jamhuri Day Robert Godec Raila swearing in

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories