Mirengo ya Jubilee na Nasa yaimarisha kampeini za uchaguzi

Naibu Rais William Ruto amewataja viongozi wa pwani kama matapeli kwa sababu ya kutotumia pesa wanazopata za ugatuzi kwa manufaa ya wananchi. Ruto amesema kuwa pwani iko nyuma kimaendeleo kwa sababu ya uongozi mbaya. Haya ni huku viongozi wa Nasa wakiitaja serikali kama ambayo imeshindwa na kazi na kuwawekelea wananchi mzigo mkubwa wa bei ya bidhaa.

Tags:

raila odinga JUBILEE NASA william ruto

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories