Mishi Mboko aponea kufungwa
Published on: March 17, 2017 08:37 (EAT)
Mahakama ya Mombasa hii leo imetupilia mbali kesi inayomkabili mwakilishi wa wanawake katika kaunti ya Mombasa Mishi Mboko baada ya kudaiwa kutoa matamshi ya uchochezi mwaka 2014. Kulingana na hakimu Julius Nang’ea hapakuwa na ushahidi mwafaka wa kumfunga Mishi dhidi ya madai hayo.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment