Mito ya Nyeri yakauka

Huku msimu wa kiangazi ukiendelea, baadhi ya mito katika Kaunti ya Nyeri imeanza kukauka. wakaazi wameanza kupata dhiki kutokana na uhaba wa maji huku wanaotunza mazingira wakitaka hatua za haraka kuchukuliwa kusitisha ukataji miti na kuhifadhi mito.

Tags:

CLIMATE CHANGE GLOBAL WARMING chania River drying up rivers Watewr Crisis

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories