Mito ya Nyeri yakauka
Published on: January 20, 2018 08:32 (EAT)
Huku msimu wa kiangazi ukiendelea, baadhi ya mito katika Kaunti ya Nyeri imeanza kukauka. wakaazi wameanza kupata dhiki kutokana na uhaba wa maji huku wanaotunza mazingira wakitaka hatua za haraka kuchukuliwa kusitisha ukataji miti na kuhifadhi mito.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment