Mjue rais Faarmajo, wa Somalia

Mohamed Abdullahi Mohamed, ambaye anajulikana kwa jina la utani kama Faarmajo, ni rais mpya wa Somalia. Faarmajo alichaguliwa mnamo tarehe 8 February mwaka huu na kuwashinda wapinzani wengine 19 kwenye uchaguzi huo. Kwenye taarifa ifuatayo Swaleh Mdoe anaangazia maisha ya rais huyu mpya wa Somalia na changamoto anazopambana nazo.

Tags:

somalia Mohamed Abdullahi Mohamed Faarmajo

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories