Mjue rais Faarmajo, wa Somalia
Published on: March 03, 2017 08:42 (EAT)
Mohamed Abdullahi Mohamed, ambaye anajulikana kwa jina la utani kama Faarmajo, ni rais mpya wa Somalia. Faarmajo alichaguliwa mnamo tarehe 8 February mwaka huu na kuwashinda wapinzani wengine 19 kwenye uchaguzi huo. Kwenye taarifa ifuatayo Swaleh Mdoe anaangazia maisha ya rais huyu mpya wa Somalia na changamoto anazopambana nazo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment