Mkono Wa Buriani
Published on: October 19, 2014 08:06 (EAT)
Profesa Ali Mazrui amezikwa katika makaburi ya familia ya Mazrui katika eneo la Old Town kaunti ya Mombasa mita chache kutoka makavazi ya Fort Jesus. Viongozi ambao walihudhuria mazishi ya shujaa huyo wakiwemo gavana na seneta wa kaunti ya Mombasa na kiongozi wa wengi bungeni Aden Duale, walimtaja Mazrui kama msomi atakayekumbukwa na vizazi vingi vijavyo.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment