Mkutano wa Jubilee Malindi

Chama Jubilee kimewaonya wagombea wanaochochea fujo na ghasia katika zoezi la kuwachagua  wanakamati wa bodi za uchaguzi za chama hicho kwenye kaunti tofauti kikisema kuwa wanasiasa hao watachukuliwa hatua ikiwemo kupigwa marufuku kushiriki kwenye kura za mchujo.

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories