Mkutano wa NASA Wafanyika uwanjani Muliro, Mathare

Muungano wa NASA umeikosoa serikali ya Jubilee kuhusu miradi ya maendeleo ambayo Jubilee inajivunia kuikamilisha. Vinara wa NASA waliandaa mkutano katika bustani ya Muliro mtaani Mathare hapa jijini Nairobi, na kuwaeleza wakenya kuwa wana imani ya kushinda uchaguzi mkuu ujao na kwamba wao ndio wataleta mabadiliko.

Tags:

kalonzo musyoka NASA Mathare Raila Odinga Muliro

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories