Mlinzi wa Seneta Wetangula ashtakiwa

Simon Lonyia ambaye ni mlinzi wa seneta wa Bungoma Moses Wetangula ameshtakiwa kwa madai ya kuzua vurugu nje ya mahakama ya juu. Afisa huyo mwenye cheo cha konstebo alifikishwa leo katika mahakama ya Milimani na kukanusha madai hayo.

Tags:

Moses Wetangula supreme court Simon Lonyia

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories