Mmea wenye sumu unangoa mbuzi meno
Published on: September 06, 2016 11:14 (EAT)
Wazee wa jamii ya Ilchamus kutoka kaunti ya Baringo hii leo wamewasilisha malalamishi yao mbele ya afisi za chama cha mawakili wakiitaka chama hicho kiingialie kati na kuwasaidia wapate stakabadhi za kesi wanazodai zimezuiliwa na wakili mmoja tangu waliposhinda kesi .Wazee hao walikuwa wameishtaki serikali kwa kupanda mmea unaojulikana kama Mathenge’ wakidai umewatia hasara maishani pamoja na mifugo yao.
Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000
Comments
No comments yet.
Leave a Comment