Moi, Kenyatta wamuomboleza Ntimama
Published on: September 06, 2016 11:29 (EAT)
Kumekuwa na shughuli nyingi hii leo nyumbani kwa aliyekuwa mwanasiasa mkongwe William Ole Ntimama baada ya viongozi kadhaa wa serikalini wakiongozwa na Rais Uhuru Kenyatta pamoja na rais mstaafu Daniel Moi kuzuru familia yake kuifariji.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment