Mpango wa Wings to Fly wanoga wazinduliwa Kasarani
Published on: January 23, 2017 08:27 (EAT)
Serikali imeendelea kuhimiza wakenya kuwekeza katika taasisi za kiufundi humu nchini kama njia moja ya kuhakikishia wanafunzi wanapata mafunzo ya kuwawezesha kupata ajira.
Waziri wa elimu doctor Fred Matiang’i amesema hayo huku akisistiza kuwa vyuo vingi vikuu humu nchini vimeshindwa kutoa nafasi tele za ajira vikilinganishwa na taasisi za kiufundi.
Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke
Comments
No comments yet.
Leave a Comment