Mrithi wa Issack Hassan

Mgawanyiko kuhusu iwapo watu watano wanaotizamiwa kuhojiwa ili kuchukua nafasi yake Issack Hassan kama mwenyekiti wa tume ya uchaguzi nchini umeanza kuibuka huku baadhi ya wanasiasa wakitaka nafasi hiyo itangazwe upya. Hatua hiyo inakisiwa kuchangiwa na mchakato wa kutaka tarehe ya uchaguzi wa mwaka ujao isogezwe mbele hata hivyo chama cha wanasheria nchini kinapinga kauli hiyo na kusema kuwa sababu zinazotolewa na wanasiasa hazina msingi.

Want to send us a story? SMS to 25170 or WhatsApp 0743570000 or Submit on Citizen Digital or email wananchi@royalmedia.co.ke

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories