Msafara wa Gavana Joho wavamiwa Mpeketoni

Sokomoko ilishuhudiwa leo huku watu kadhaa wakijeruhiwa mjini Mpeketoni kaunti ya Lamu baada ya wakazi wa eneo hilo waliojawa na hasira kuvuruga mkutano wa kisiasa uliondaliwa na viongozi kadhaa kutoka katika mrengo wa NASA wakiongozwa na gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho pamoja na mwenzake wa Kilifi Amason Kingi. huku hayo yakijiri gavana wa kaunti ya Nairobi Evans Kidero amesisitiza kuwa uteuzi wa wagombea wa muungano wa NASA utakuwa wa pamoja hapa Nairobi.

Tags:

NASA Mpeketoni Amason Kingi Hassan Joho

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories