Msafara wa Jubilee washambuliwa mjini Mwingi

Msafara wa Jubilee hapo jana haukupokelewa vyema na wakaazi wa Mwingi katika kaunti ya kitui. Hii ni baada ya magari waliokuwa wakisafiria kupigwa mawe na wafuasi wa mrengo wa upinzani.

Tags:

JUBILEE mwingi kitui David Musila

Want to send us a story? Submit on Wananchi Reporting on the Citizen Digital App or Send an email to wananchi@royalmedia.co.ke or Send an SMS to 25170 or WhatsApp on 0743570000

Leave a Comment

Comments

No comments yet.

latest stories